Isaiah 45:1

Koreshi Chombo Cha Mungu


1 a“Hili ndilo asemalo Bwana kwa mpakwa mafuta wake,
Koreshi, ambaye nimemshika mkono wake wa kuume
kutiisha mataifa mbele yake
na kuwavua wafalme silaha zao,
kufungua milango mbele yake
ili malango yasije yakafungwa:
Copyright information for SwhKC